Swali: Ni ipi hukumu ya kuiga wasomaji wa Qur-aan na makhatwib, ikiwa si kwa ajili ya kuwadhihaki, bali kwa sababu ya kuvutiwa na usomaji wao?
Jibu: Kama mtu anawaiga kwa nia ya kujifunza kutokana na usomaji wao, kuboresha usomaji wake na kuiga uzuri wa kisomo chao, hili ni jambo jema na halina tatizo. Lakini kama kuiga huko kunakuwa kwa ajili ya kuwachezea shere, basi hilo ni kufuru. Kufanya ishtihzai kwa Qur-aan ni kufuru na upotofu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1091/تقليد-المقرىين-والخطباء-ما-حكمه
- Imechapishwa: 15/12/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kuiga wasomaji wa Qur-aan na makhatwib, ikiwa si kwa ajili ya kuwadhihaki, bali kwa sababu ya kuvutiwa na usomaji wao?
Jibu: Kama mtu anawaiga kwa nia ya kujifunza kutokana na usomaji wao, kuboresha usomaji wake na kuiga uzuri wa kisomo chao, hili ni jambo jema na halina tatizo. Lakini kama kuiga huko kunakuwa kwa ajili ya kuwachezea shere, basi hilo ni kufuru. Kufanya ishtihzai kwa Qur-aan ni kufuru na upotofu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1091/تقليد-المقرىين-والخطباء-ما-حكمه
Imechapishwa: 15/12/2025
https://firqatunnajia.com/kuwaiga-wasomaji-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket