Swali: Mtu aliyemwahidi mtu mwingine kitu kisha akavunja ahadi yake. Je, anapata dhambi?
Jibu: Msingi katika ahadi ni kwamba ni wajibu kuzitimiza. Kuvunja ahadi ni miongoni mwa sifa ya wanafiki:
“… wanapoahidi, huvunja.”
Huu ndio msingi. Isipokuwa kwa sababu inayokubalika katika Shari´ah; kama vile kushindwa kutekeleza au kubadilika kwa kile alichoahidiwa. Kwa maana nyingine sababu inayokubalika katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25413/ما-حكم-من-وعد-شخصا-اخر-بشيء-ثم-اخلف
- Imechapishwa: 09/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket