Swali: Je, katika Uislamu pindi mmoja anapomsalimia ndugu yake inafaa kwake kumuinamia kwa kumuadhimisha au akavua viatu vyake na akamuinamia kwa kumuadhimisha? Yote haya ni katika desturi ya mababu zetu.
Jibu: Haijuzu kuinama wakati wa kusalimia na kuvua viatu kwa ajili yake.
- Muhusika: al-Najnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/147)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Je, katika Uislamu pindi mmoja anapomsalimia ndugu yake inafaa kwake kumuinamia kwa kumuadhimisha au akavua viatu vyake na akamuinamia kwa kumuadhimisha? Yote haya ni katika desturi ya mababu zetu.
Jibu: Haijuzu kuinama wakati wa kusalimia na kuvua viatu kwa ajili yake.
Muhusika: al-Najnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/147)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuvua-viatu-na-kuinama-wakati-wa-kumsalimia-mtu/