Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete?
Jibu: Hapana neno ikiwa ni pete ya fedha. Sio Sunnah. Lakini ni jambo linalofaa.
Swali: Imepokelewa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivaa pete ya dhahabu?
Jibu: Ndio, kisha akaitupa. Baada ya hapo akavaa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pete ya fedha.
Swali: Dhahabu nyeupe?
Jibu: Hapana, fedha. Alipomuona bwana mmoja mkononi mwake yuko na pete ya dhahabu akaitupa na kusema:
“Anakusudiaje mmoja wenu kuweka kaa la moto mkononi mwake?”
Amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pete ya dhahabu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23314/ما-حكم-لبس-الخاتم-للرجال
- Imechapishwa: 23/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)