Swali: Mtu avae kikoi mpaka juu kidogo ya mafundo ya miguu au chini ya hapo?
Jibu: Mpaka kwenye mafundo ya miguu.
Swali: Vipi kikifika mpaka kwenye mafundo ya miguu?
Jibu: Haidhuru. Hata hivyo kisishuke chini ya mafundo ya miguu:
“Kilichoko chini ya kongo mbili za miguu katika kikoi ni Motoni.”
Swali: Hata hivyo hapana vibaya kikifika juu kidogo ya kongo za miguu?
Jibu: Akipandisha juu ya mafundo ya miguu anakuwa amejiweka mbali zaidi na shubuha. Apandishe mpaka kwenye nusu ya muundi.
Swali: Kuna upokezi unaosema kwamba hakuna nafasi ya mafundo ya miguu katika kikoi
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya masimulizi. Lakini Swahiyh zaidi ni ule unaosema:
“Kilichoko chini ya kongo mbili za miguu katika kikoi ni Motoni.”
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23311/ما-حد-الازار-حتى-لا-يكون-مسبلا
- Imechapishwa: 25/12/2023
Swali: Mtu avae kikoi mpaka juu kidogo ya mafundo ya miguu au chini ya hapo?
Jibu: Mpaka kwenye mafundo ya miguu.
Swali: Vipi kikifika mpaka kwenye mafundo ya miguu?
Jibu: Haidhuru. Hata hivyo kisishuke chini ya mafundo ya miguu:
“Kilichoko chini ya kongo mbili za miguu katika kikoi ni Motoni.”
Swali: Hata hivyo hapana vibaya kikifika juu kidogo ya kongo za miguu?
Jibu: Akipandisha juu ya mafundo ya miguu anakuwa amejiweka mbali zaidi na shubuha. Apandishe mpaka kwenye nusu ya muundi.
Swali: Kuna upokezi unaosema kwamba hakuna nafasi ya mafundo ya miguu katika kikoi
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya masimulizi. Lakini Swahiyh zaidi ni ule unaosema:
“Kilichoko chini ya kongo mbili za miguu katika kikoi ni Motoni.”
Ameipokea al-Bukhaariy katika “as-Swahiyh” yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23311/ما-حد-الازار-حتى-لا-يكون-مسبلا
Imechapishwa: 25/12/2023
https://firqatunnajia.com/kuvaa-nguo-mpaka-kwenye-mafundo-ya-miguu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)