Swali: Kuna kigezo kipi cha kujifananisha na makafiri?
Jibu: Kuvaa ya mtu yakawa kama mavazi yao, mionekano ya mtu ikawa kama mionekano yao. Baadhi ya mavazi yanafanana na ya makafiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”[1]
Wanazuoni wanasema kuwa mwenye kujifananisha na makafiri na akaona kuwa nguo zao ndio bora zaidi, amekufuru, na akivaa mavazi yao bila ya kuona ndio bora zaid, basi anapata dhambi.
[1] Ahmad (5114, 5115 na 5667).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 406
- Imechapishwa: 24/08/2025
Swali: Kuna kigezo kipi cha kujifananisha na makafiri?
Jibu: Kuvaa ya mtu yakawa kama mavazi yao, mionekano ya mtu ikawa kama mionekano yao. Baadhi ya mavazi yanafanana na ya makafiri. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”[1]
Wanazuoni wanasema kuwa mwenye kujifananisha na makafiri na akaona kuwa nguo zao ndio bora zaidi, amekufuru, na akivaa mavazi yao bila ya kuona ndio bora zaid, basi anapata dhambi.
[1] Ahmad (5114, 5115 na 5667).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 406
Imechapishwa: 24/08/2025
https://firqatunnajia.com/kuvaa-mavazi-kama-ya-kwao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
