Swali: Ni ipi hukumu ya kuanzisha masoko ambayo kunauzikana vitabu vya kielimu pamoja na kuzingatia kwamba katika masoko haya kunaweza kufanywa Bid´ah kwa mfano Bid´ah ya Maulidi na Bid´ah nyenginezo? Je, kuuza vitabu vya kielimu kunahesabika ni kuwasaidia katika Bid´ah?
Jibu: Hapa kuna mambo mawili:
La kwanza: Bid´ah ni kitu kimoja. Asishirikiane nao katika Bid´ah.
La pili: Kuuza vitabu ni kitu kingine. Isipokuwa ikiwa kama kuuza kwake anawashaji´isha katika Bid´ah. Katika hali hii asiuze katika wakati huu. Atenge muda mwingine wa kuviuza.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 02/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)