Swali: Kuna mtu anayo ardhi anataka kuuza 100.000, lakini aliomba mkopo serikalini kwa hiyo serikali ikampa nafasi ya kukopa juu ya ardhi hii?
Jibu: Ikiwa serikali wameiweka rehani basi asiiuze. Ikiwa serikali imeiweka rehani, imempa mkopo na kuweka ardhi rehani, basi asiiuze isipokuwa kwa idhini ya serikali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24445/ما-حكم-بيع-الرهن
- Imechapishwa: 12/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)