Swali: Ikiwa mtu ana dhiki ya kifedha – je, mali zake huuziwa?
Jibu: Majaji huangalia na kuhukumu kulingana na hali yake. Ikiwa ana dhiki ya kifedha, basi hapaswi kuzuiliwa, kwani Allaah amesema:
وَإِن كَانَ ذُو عُسْرَةٍ فَنَظِرَةٌ إِلَىٰ مَيْسَرَةٍ
”Na ikiwa [mdaiwa] ni mwenye hali ngumu, basi [anayedai] angoje mpaka afarijike.”[1]
Lakini ikiwa ana mali inayoweza kutumika kulipa madeni yake, basi atazuiliwa hadi alipe deni alilonalo.
[1] 02:280
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25386/هل-تباع-املاك-المعسر
- Imechapishwa: 22/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)