Swali: Je, inafaa kwa muislamu katika nchi ya kikafiri kuuza bidhaa za haramu…?
Jibu: Hapana. Muislamu hauzi bidhaa za haramu, pasi na kujali maeneo alipo. Kwa sababu Allaah pindi anapoharamisha kitu basi huharamisha vilevile thamani yake. Wakati Allaah alipowaharamishia mayahudi kuuza shahamu za nyamafu, basi siagi hiyo waliiyeyusha kuwa mafuta na wakasema kuwa hawakuuza shahamu ili kuepuka makatazo ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Haijuzu kufanya hivo. Jina halibadilishi uhalisia wa mambo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 17/04/2021
Swali: Je, inafaa kwa muislamu katika nchi ya kikafiri kuuza bidhaa za haramu…?
Jibu: Hapana. Muislamu hauzi bidhaa za haramu, pasi na kujali maeneo alipo. Kwa sababu Allaah pindi anapoharamisha kitu basi huharamisha vilevile thamani yake. Wakati Allaah alipowaharamishia mayahudi kuuza shahamu za nyamafu, basi siagi hiyo waliiyeyusha kuwa mafuta na wakasema kuwa hawakuuza shahamu ili kuepuka makatazo ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Haijuzu kufanya hivo. Jina halibadilishi uhalisia wa mambo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
Imechapishwa: 17/04/2021
https://firqatunnajia.com/kuuza-bidhaa-za-haramu-katika-nchi-za-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket