Swali: Inajuzu kwangu kununua bidhaa kisha nikaiuza kwa bei maradufu?
Jibu: Ukinunua bidhaa, ukaimiliki na kuwa nayo, inafaa kwako kuiuza kwa mfano wa thamani uliyonunua, juu yake au chini yake. Kwa sababu ni milki yako.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2005-03-1438H.mp3-1.mp3
- Imechapishwa: 26/08/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket