Swali: Siku hizi masomo yanafanya siku iliyofunguliwa. Wanafunzi wanaleta chakula kutoka majumbani mwao na sisi waalimu tunafuturu pamoja nao. Idara inajua kuhusu hilo na wanafunzi wanafurahi kwa sisi kula pamoja nao. Inajuzu kwetu kula chakula hichi pamoja na wanafunzi?
Jibu: Inategemea na nidhamu. Ikiwa wizara inakubaliana na hili, hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
- Imechapishwa: 26/08/2017
Swali: Siku hizi masomo yanafanya siku iliyofunguliwa. Wanafunzi wanaleta chakula kutoka majumbani mwao na sisi waalimu tunafuturu pamoja nao. Idara inajua kuhusu hilo na wanafunzi wanafurahi kwa sisi kula pamoja nao. Inajuzu kwetu kula chakula hichi pamoja na wanafunzi?
Jibu: Inategemea na nidhamu. Ikiwa wizara inakubaliana na hili, hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (69) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/12-07-1438i.mp3
Imechapishwa: 26/08/2017
https://firqatunnajia.com/iftaar-ya-waalimu-pamoja-na-wanafunzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)