Swali: Ni Bid´ah kusabihi kwa Subha?
Jibu: Ni alama ya Suufiyyah. Wao ndio wenye kutumia Subha. Vidole vinatosheleza kufanya Tasbiyh.
Swali: Baada ya kuhiji au kufanya ´Umrah inafaa kwangu kununua Subha kwa ajili ya familia yangu au ndugu zangu kama zawadi?
Jibhu: Hapana. Usinunue Subha. Hii ni alama ya Suufiyyah wanaonelea kuwa ina fadhilah. Badala yake nunua kitu kingine chenye faida.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Ni Bid´ah kusabihi kwa Subha?
Jibu: Ni alama ya Suufiyyah. Wao ndio wenye kutumia Subha. Vidole vinatosheleza kufanya Tasbiyh.
Swali: Baada ya kuhiji au kufanya ´Umrah inafaa kwangu kununua Subha kwa ajili ya familia yangu au ndugu zangu kama zawadi?
Jibhu: Hapana. Usinunue Subha. Hii ni alama ya Suufiyyah wanaonelea kuwa ina fadhilah. Badala yake nunua kitu kingine chenye faida.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%208%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kutumia-subha-ni-kujifananisha-na-suufiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket