Swali 136: Ziada inayosema:
“Ilikuwa inampendeza kuanza kwa upande wa kulia… ” na ndani yake imetajwa: “… na katika Siwaak yake.”?
Jibu: Maana yake ni kwamba anaanza na upande wa kulia wa mdomo wake na atumie Siwaak kwa mkono wa kushoto.
Swali 137: Je, Siwaak inatumiwa kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Ndio, kwa sababu ni katika kuondoa uchafu na taka na ili aanze na sehemu ya kulia ya mdomo wake, hivyo ndivyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
- Imechapishwa: 26/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 136: Ziada inayosema:
“Ilikuwa inampendeza kuanza kwa upande wa kulia… ” na ndani yake imetajwa: “… na katika Siwaak yake.”?
Jibu: Maana yake ni kwamba anaanza na upande wa kulia wa mdomo wake na atumie Siwaak kwa mkono wa kushoto.
Swali 137: Je, Siwaak inatumiwa kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Ndio, kwa sababu ni katika kuondoa uchafu na taka na ili aanze na sehemu ya kulia ya mdomo wake, hivyo ndivyo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 65
Imechapishwa: 26/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kutumia-siwaak-kwa-mkono-wa-kushoto/