Swali: Vipi kuhusu kujengea hoja kwa makadirio kabla ya kutubu kutokana na maasi?
Jibu: Kabla ya tawbah haijuzu. Haijuzu kwa mtu yeyote kujengea hoja kwa makadirio.
Swali: Vipi ikiwa ni baada ya tawbah?
Jibu: Baada ya tawbah hapana shida, kama alivyofanya Aadam.
Swali: Inasihi kujengea hoja kwa majanga na si kwa maasi?
Jibu: Ndio, na pia miongoni mwa jibu ni kwamba alimlaumu juu ya msiba.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31073/حكم-الاحتجاج-بالقدر-قبل-التوبة-من-المعصية
- Imechapishwa: 02/10/2025
Swali: Vipi kuhusu kujengea hoja kwa makadirio kabla ya kutubu kutokana na maasi?
Jibu: Kabla ya tawbah haijuzu. Haijuzu kwa mtu yeyote kujengea hoja kwa makadirio.
Swali: Vipi ikiwa ni baada ya tawbah?
Jibu: Baada ya tawbah hapana shida, kama alivyofanya Aadam.
Swali: Inasihi kujengea hoja kwa majanga na si kwa maasi?
Jibu: Ndio, na pia miongoni mwa jibu ni kwamba alimlaumu juu ya msiba.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31073/حكم-الاحتجاج-بالقدر-قبل-التوبة-من-المعصية
Imechapishwa: 02/10/2025
https://firqatunnajia.com/kutumia-hoja-makadirio-baada-ya-tawbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket