Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Aayah za Qur-aan nje ya mahali pake, kama vile kumwambia mtu anayeitwa Yuusuf:
يُوسُفُ أَعْرِضْ عَنْ هَـٰذَا
“Yuusuf yapuuzilie mbali haya.”[1]
au kusema:
لَا تُبْقِي وَلَا تَذَرُ
“Haubakishi wala hauachi kitu.”[2]?
Jibu: Hili halitakikani. Ama kunukuu kutokana na Aayah za Qur-aan, hilo halina ubaya ikiwa kunukuu huko kutakuwa katika mahali pake panapostahiki. Lakini ikiwa ni katika mahali pasipokuwa pake, basi haifai.
[1] 12:29
[2] 74:28
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
- Imechapishwa: 12/09/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Aayah za Qur-aan nje ya mahali pake, kama vile kumwambia mtu anayeitwa Yuusuf:
يُوسُفُ أَعْرِضْ عَنْ هَـٰذَا
“Yuusuf yapuuzilie mbali haya.”[1]
au kusema:
لَا تُبْقِي وَلَا تَذَرُ
“Haubakishi wala hauachi kitu.”[2]?
Jibu: Hili halitakikani. Ama kunukuu kutokana na Aayah za Qur-aan, hilo halina ubaya ikiwa kunukuu huko kutakuwa katika mahali pake panapostahiki. Lakini ikiwa ni katika mahali pasipokuwa pake, basi haifai.
[1] 12:29
[2] 74:28
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (24)
Imechapishwa: 12/09/2026
https://firqatunnajia.com/kutumia-aayah-za-qur-aan-katika-mazungumzo/