Swali: Kuna mtu ameiba pesa kisha akatubia. Lakini hamjui mwenye nazo ili aweze kumrudishia nazo. Je, tawbah yake ni sahihi na aifanye nini pesa hii aliyoiba?
Jibu: Aitoe kuwapa wahitaji na mafukara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 11/08/2024
Swali: Kuna mtu ameiba pesa kisha akatubia. Lakini hamjui mwenye nazo ili aweze kumrudishia nazo. Je, tawbah yake ni sahihi na aifanye nini pesa hii aliyoiba?
Jibu: Aitoe kuwapa wahitaji na mafukara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 11/08/2024
https://firqatunnajia.com/kutubia-juu-ya-pesa-aliyomuibia-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
