Swali: Kuna mtu ameiba pesa kisha akatubia. Lakini hamjui mwenye nazo ili aweze kumrudishia nazo. Je, tawbah yake ni sahihi na aifanye nini pesa hii aliyoiba?
Jibu: Aitoe kuwapa wahitaji na mafukara.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 11/08/2024
Swali: Kuna mtu ameiba pesa kisha akatubia. Lakini hamjui mwenye nazo ili aweze kumrudishia nazo. Je, tawbah yake ni sahihi na aifanye nini pesa hii aliyoiba?
Jibu: Aitoe kuwapa wahitaji na mafukara.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 11/08/2024
https://firqatunnajia.com/kutubia-juu-ya-pesa-aliyomuibia-mtu/