Swali: Je, kumethibiti dalili kwamba kutokwa na damu kunachengua wudhuu´?
Jibu: Sijui kitu cha wazi kabisa. Isipokuwa ikiwa damu hiyo inatoka kwenye tupu, kama vile damu ya ugonjwa inayotoka kwenye uke wa mwanamke. Lakini ikiwa ni damu inayotoka kusikokuwa kwenye tupu, basi salama zaidi mtu atawadhe ikiwa ni nyingi. Damu ndogo ni yenye kusamehewa. Hata hivyo ikiwa ni nyingi salama zaidi atawadhe kwa ajili ya kutoka nje ya makinzano ya wanazuoni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23173/هل-خروج-الدم-ينقض-الوضوء
- Imechapishwa: 18/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)