Swali 326: Ni ipi hukumu ya kuharakisha kutoa zakaah kabla ya wakati wake?
Jibu: Inafaa kufanya hivo kwa miaka miwili kabla. Ikiwa inafaa kwa miaka miwili kabla basi inafaa kufanya hivo kwa muda kabla zaidi ya hivo. Na ikiwa aliharakisha kisha akawa fakiri, basi itahesabiwa kuwa ni swadaqah. Na ikiwa mali yake iliongezeka, basi atatoa zakaah ya ziada hiyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
- Imechapishwa: 29/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 326: Ni ipi hukumu ya kuharakisha kutoa zakaah kabla ya wakati wake?
Jibu: Inafaa kufanya hivo kwa miaka miwili kabla. Ikiwa inafaa kwa miaka miwili kabla basi inafaa kufanya hivo kwa muda kabla zaidi ya hivo. Na ikiwa aliharakisha kisha akawa fakiri, basi itahesabiwa kuwa ni swadaqah. Na ikiwa mali yake iliongezeka, basi atatoa zakaah ya ziada hiyo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 117
Imechapishwa: 29/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kutoa-zakaah-kabla-ya-kutimia-wakati-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket