Swali: Kuhusu Sa´y katika Twawaaf kukimbia kwa hatua za haraka katika mizunguko mitatu, na kuhusu Sa´y kati ya Swafaa na Marwah, ikiwa mtu anaandamana na mwanamke hahitajii kufanya hivo?
Jibu: Atembee naye. Ikiwa kuna haja ya kutembea naye, basi atembee naye. Na ikiwa mwanamke yuko vizuri na anaweza kukamilisha Twawaaf yake mwenyewe, basi yeye mwenyewe anaweza kutembea haraka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24981/حكم-الرمل-والهرولة-لمن-معه-نساء
- Imechapishwa: 20/01/2025
Swali: Kuhusu Sa´y katika Twawaaf kukimbia kwa hatua za haraka katika mizunguko mitatu, na kuhusu Sa´y kati ya Swafaa na Marwah, ikiwa mtu anaandamana na mwanamke hahitajii kufanya hivo?
Jibu: Atembee naye. Ikiwa kuna haja ya kutembea naye, basi atembee naye. Na ikiwa mwanamke yuko vizuri na anaweza kukamilisha Twawaaf yake mwenyewe, basi yeye mwenyewe anaweza kutembea haraka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24981/حكم-الرمل-والهرولة-لمن-معه-نساء
Imechapishwa: 20/01/2025
https://firqatunnajia.com/kutembea-mchakamchaka-swafaa-na-marwah-kwa-ambaye-ameandamana-na-mwanamke/