Swali: Wale wanaoenda kutazama michezo ya sarakasi na michezo mingine wanakufuru japo hawakuyaridhia?
Jibu: Ikiwa hawakuyaridhia wamefanya kitendo cha haramu ambacho wanapata dhambi kwacho. Ama wakiyaridhia ilihali wanajua kuwa ni uchawi, wanakufuru.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 156
- Imechapishwa: 12/01/2019
Swali: Wale wanaoenda kutazama michezo ya sarakasi na michezo mingine wanakufuru japo hawakuyaridhia?
Jibu: Ikiwa hawakuyaridhia wamefanya kitendo cha haramu ambacho wanapata dhambi kwacho. Ama wakiyaridhia ilihali wanajua kuwa ni uchawi, wanakufuru.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 156
Imechapishwa: 12/01/2019
https://firqatunnajia.com/kutazama-michezo-ya-sarakasi-au-mingine-ya-kichawi/