Swali: Kudumu kwa kusoma Qur-aan ni miongoni mwa tiba za uchawi?
Jibu: Unajilinda dhidi ya uchawi. Kudumu kwa kusoma Qur-aan, kufanya Adhkaar na nyuradi zilizowekwa katika Shari´ah ni kinga. Ni mambo yanamkinga mtu na uchawi, kijicho, hasadi, mashaytwaan wa kijini na wa kiwatu na mengineyo. Ni ulinzi. Kumdhukuru Allaah ni kinga ya muislamu anayojikinga nayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2019
Swali: Kudumu kwa kusoma Qur-aan ni miongoni mwa tiba za uchawi?
Jibu: Unajilinda dhidi ya uchawi. Kudumu kwa kusoma Qur-aan, kufanya Adhkaar na nyuradi zilizowekwa katika Shari´ah ni kinga. Ni mambo yanamkinga mtu na uchawi, kijicho, hasadi, mashaytwaan wa kijini na wa kiwatu na mengineyo. Ni ulinzi. Kumdhukuru Allaah ni kinga ya muislamu anayojikinga nayo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (07) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/07.mp3
Imechapishwa: 12/01/2019
https://firqatunnajia.com/kudumu-kwa-kusoma-qur-aan-na-kufanya-adhkaar-ni-kinga-ya-muislamu/