Swali: Mwenye kusema “Ee Allaah! Hakika mimi ninatawassul Kwako kutokana na ninavyokufanyia mapungufu” ni sahihi?
Jibu: Tawassul kwa Allaah kwa udhaifu na haja yako. Usisemi kwa upungufu. Upungufu sio utiifu. Upungufu sio utiifu ambao mtu anatawassul nao kwa Allaah. Badala yake watakiwa kusema “Ee Allaah! Mimi nina mapungufu na makosa.” Usitawassul kwa Allaah kwa mapungufu yako. Unachotakiwa ni kutawassul kwa Allaah kutokana na udhaifu na kule kumuhitajia Kwake (Subhaanah) pamoja vilevile na kukubali ya kwamba wewe ni mfanya mapungufu. Ukubali ya kuwa wewe ni mfanya mapungufu. Kukiri kwako ya kwamba wewe ni mfanya mapungufu ni ´ibaadah na matendo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2135
- Imechapishwa: 11/07/2020
Swali: Mwenye kusema “Ee Allaah! Hakika mimi ninatawassul Kwako kutokana na ninavyokufanyia mapungufu” ni sahihi?
Jibu: Tawassul kwa Allaah kwa udhaifu na haja yako. Usisemi kwa upungufu. Upungufu sio utiifu. Upungufu sio utiifu ambao mtu anatawassul nao kwa Allaah. Badala yake watakiwa kusema “Ee Allaah! Mimi nina mapungufu na makosa.” Usitawassul kwa Allaah kwa mapungufu yako. Unachotakiwa ni kutawassul kwa Allaah kutokana na udhaifu na kule kumuhitajia Kwake (Subhaanah) pamoja vilevile na kukubali ya kwamba wewe ni mfanya mapungufu. Ukubali ya kuwa wewe ni mfanya mapungufu. Kukiri kwako ya kwamba wewe ni mfanya mapungufu ni ´ibaadah na matendo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2135
Imechapishwa: 11/07/2020
https://firqatunnajia.com/kutawassul-kwa-allaah-kwa-mapungufu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)