Swali: Imekuja katika Hadiyth:
“Hakika yule ambaye atazidisha katika wudhuu´ juu ya kunawa mara tatu basi kwa hakika amechupa mpaka, amedhulumu na amefanya vibaya.”
Je, anapata dhambi ambaye baadhi ya nyakati atazidisha pasi na kukusudia isipokuwa amefanya hivo kwa kuchelea pengine ameacha sehemu kidogo na anaingia katika matishio haya?
Jibu: Hapana, akiona sehemu kidogo basi ni lazima aioshe. Mambo ni sahali. Ni lazima akamilishe. Hajakamilisha kunawa mara tatu. Ikiwa kuzidisha kunatokana na wasiwasi au dhana peke yake basi haitofaa kuzidisha zaidi ya mara tatu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 04/12/2020
Swali: Imekuja katika Hadiyth:
“Hakika yule ambaye atazidisha katika wudhuu´ juu ya kunawa mara tatu basi kwa hakika amechupa mpaka, amedhulumu na amefanya vibaya.”
Je, anapata dhambi ambaye baadhi ya nyakati atazidisha pasi na kukusudia isipokuwa amefanya hivo kwa kuchelea pengine ameacha sehemu kidogo na anaingia katika matishio haya?
Jibu: Hapana, akiona sehemu kidogo basi ni lazima aioshe. Mambo ni sahali. Ni lazima akamilishe. Hajakamilisha kunawa mara tatu. Ikiwa kuzidisha kunatokana na wasiwasi au dhana peke yake basi haitofaa kuzidisha zaidi ya mara tatu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 04/12/2020
https://firqatunnajia.com/kutawadha-zaidi-ya-mara-tatu-bila-kukusudia/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket