Sharti ya pili ya swalah ni twahara. Swalah haikubaliwi bila ya twahara. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah haikubali swalah ya mmoja wenu anapokuwa na hadathi mpaka atawadhe.”[1]
Ni lazima mtu atawadhe kwa njia iliyoamrishwa katika Shari´ah. Akiwa na hadathi ndogo; haja ndogo au kubwa, kutokwa na upepo, kusinzia na kula nyama ya ngamia, basi atawadhe.
[1] al-Bukhaariy (135).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/362)
- Imechapishwa: 11/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)