623 – Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu mwenye kutapika katika Ramadhaan. Jibu lake lilikuwa:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
- Imechapishwa: 21/03/2021
623 – Nilimsikia Ahmad akiulizwa kuhusu mwenye kutapika katika Ramadhaan. Jibu lake lilikuwa:
”Ambaye yatamshinda matapishi basi halazimiki kulipa. Na ambaye atajitapisha basi ni lazima kwake kulipa.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
Imechapishwa: 21/03/2021
https://firqatunnajia.com/kutapika-katika-ramadhaan/