Swali: Vipi ikiwa mtu atasema maneno [ya kufuru] kwa ulimi wake pasi na kuyaamini moyoni anakufuru?
Jibu: Ndio. Endapo atayasema ilihali ni mwenye kucheka… kwa mfano akasema kuwa Muhammad ni mwongo, akawa anacheza ilihali si mwenye kuitakidi ndani ya moyo au akasema kuwa Allaah hayuko juu ya mbingu anakufuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 101
- Imechapishwa: 25/12/2016
Swali: Vipi ikiwa mtu atasema maneno [ya kufuru] kwa ulimi wake pasi na kuyaamini moyoni anakufuru?
Jibu: Ndio. Endapo atayasema ilihali ni mwenye kucheka… kwa mfano akasema kuwa Muhammad ni mwongo, akawa anacheza ilihali si mwenye kuitakidi ndani ya moyo au akasema kuwa Allaah hayuko juu ya mbingu anakufuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 101
Imechapishwa: 25/12/2016
https://firqatunnajia.com/kutamka-maneno-ya-kufuru-kwa-mchezo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)