Allaah (Ta´ala) amesema:
عَذَابِي أُصِيبُ بِهِ مَنْ أَشَاءُ ۖ وَرَحْمَتِي وَسِعَتْ كُلَّ شَيْءٍ
“Adhabu Yangu Nitamsibu nayo yule nimtakaye; na Rahmah Yangu imekienea kila kitu.” 07:156
Imesihi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutakuwepo watu katika waislamu siku ya Qiyaamah na madhambi mfano wa mlima. Allaah atawasamehe na kuwaweka kwa mayahudi na manaswara.”
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila mmoja ana mahala pake Peponi na Motoni. Muumini anapoingia Peponi kafiri anachukua nafasi yake Motoni kwa kuwa anaustahiki kwa sababu ya ukafiri wake.”
Imekuja katika Hadiyth Swahiyh kwamba utasema:
“Huyu ndiye mwachwa wako nuru kutokamana na Moto.”
Hii ni bishara njema kubwa kwa waislamu wote. ash-Shaafi´iy na ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz (Rahimahumaa Allaah) wamesema Hadiyth hii inawapa waislamu wote matumaini makubwa kwa kuwa inasema wazi kuwa kila muislamu ataachwa huru.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 234
- Imechapishwa: 25/12/2016
Allaah (Ta´ala) amesema:
عَذَابِي أُصِيبُ بِهِ مَنْ أَشَاءُ ۖ وَرَحْمَتِي وَسِعَتْ كُلَّ شَيْءٍ
“Adhabu Yangu Nitamsibu nayo yule nimtakaye; na Rahmah Yangu imekienea kila kitu.” 07:156
Imesihi ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutakuwepo watu katika waislamu siku ya Qiyaamah na madhambi mfano wa mlima. Allaah atawasamehe na kuwaweka kwa mayahudi na manaswara.”
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila mmoja ana mahala pake Peponi na Motoni. Muumini anapoingia Peponi kafiri anachukua nafasi yake Motoni kwa kuwa anaustahiki kwa sababu ya ukafiri wake.”
Imekuja katika Hadiyth Swahiyh kwamba utasema:
“Huyu ndiye mwachwa wako nuru kutokamana na Moto.”
Hii ni bishara njema kubwa kwa waislamu wote. ash-Shaafi´iy na ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz (Rahimahumaa Allaah) wamesema Hadiyth hii inawapa waislamu wote matumaini makubwa kwa kuwa inasema wazi kuwa kila muislamu ataachwa huru.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 234
Imechapishwa: 25/12/2016
https://firqatunnajia.com/114-bishara-njema-kwa-waislamu-wote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)