Swali: Kuosha tupu baada ya jimaa ni kwa njia ya usafi au najisi?
Jibu: Ni kwa ajili ya kusafisha kile kilichotoka na manii yanayotoka baada ya jimaa.
Swali: Hakutokwa na kitu?
Jibu: Haijalishi kitu, kwa sababu ni lazima apatwe na unyevu wa mkojo wakati wa kuingiza kwake dhakari ndani ya uke.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23968/هل-يجب-غسل-الفرج-بعد-الجماع
- Imechapishwa: 08/08/2024
Swali: Kuosha tupu baada ya jimaa ni kwa njia ya usafi au najisi?
Jibu: Ni kwa ajili ya kusafisha kile kilichotoka na manii yanayotoka baada ya jimaa.
Swali: Hakutokwa na kitu?
Jibu: Haijalishi kitu, kwa sababu ni lazima apatwe na unyevu wa mkojo wakati wa kuingiza kwake dhakari ndani ya uke.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23968/هل-يجب-غسل-الفرج-بعد-الجماع
Imechapishwa: 08/08/2024
https://firqatunnajia.com/kutamba-baada-ya-jimaa/