Swali: Kutahadharisha na kuwazindua watu na khaswa khaswa wale wasiokuwa na elimu juu ya mapote na makundi kama haya kunazingatiwa ni katika kusengenya?
Jibu: Hapana, huku kunazingatiwa ni kutoa nasaha na sio kusengenya. Huku ni kutoa nasaha kwa ajili ya Allaah, Mtume Wake, Kitabu Chake, viongozi wa waislamu na watu wa kawaida. Hii ni nasaha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
- Imechapishwa: 28/01/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)