Swali: Kutahadharisha na kuwazindua watu na khaswa khaswa wale wasiokuwa na elimu juu ya mapote na makundi kama haya kunazingatiwa ni katika kusengenya?
Jibu: Hapana, huku kunazingatiwa ni kutoa nasaha na sio kusengenya. Huku ni kutoa nasaha kwa ajili ya Allaah, Mtume Wake, Kitabu Chake, viongozi wa waislamu na watu wa kawaida. Hii ni nasaha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
- Imechapishwa: 28/01/2018
Swali: Kutahadharisha na kuwazindua watu na khaswa khaswa wale wasiokuwa na elimu juu ya mapote na makundi kama haya kunazingatiwa ni katika kusengenya?
Jibu: Hapana, huku kunazingatiwa ni kutoa nasaha na sio kusengenya. Huku ni kutoa nasaha kwa ajili ya Allaah, Mtume Wake, Kitabu Chake, viongozi wa waislamu na watu wa kawaida. Hii ni nasaha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqiyqatu Da´wat-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17206
Imechapishwa: 28/01/2018
https://firqatunnajia.com/kutahadharisha-ahl-ul-bidah-ni-usengenyi/