Masikitiko makubwa ajali – uasi Algeri – ikatokea. Mpaka hivi leo ndugu zetu wanawasiliana na sisi. Ninaonelea kuwa kuna upumbavu na ujinga katika wao na natumai hamtochukulia vibaya. Kuna upumbavu na ujinga. Wananiuliza:
“Tufanye nini?”
Najibu:
“Kwani mnaweza kufanya nini? Sijui. Mnaweza kufanya nini?”
Wanajibu:
“Hakuna.”
Na mimi nasema “hakuna.” Hili ndio jibu.
Haya yana mafungamano na yale ambayo ndugu yetu Rabiy´ [al-Madkhaliy] aliyotaja kuhusu [Salmaan] al-´awdah, au wengine, na kwamba wanajishughulisha na siasa. Mimi naonelea kuwa mwisho itakuja kuwafanya kupita katika mfumo wa al-Ikhwaan al-Muslimuun, wa kialgeria na wa kambi ya Kiislamu.
Hili ndio jibu langu. Elimu juu ya Qur-aan na Sunnah ndio ambayo inazalisha wanaume ambao wanauokoa Ummah katika hali mbaya waliyomtumkia.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (511)
- Imechapishwa: 23/04/2015
Masikitiko makubwa ajali – uasi Algeri – ikatokea. Mpaka hivi leo ndugu zetu wanawasiliana na sisi. Ninaonelea kuwa kuna upumbavu na ujinga katika wao na natumai hamtochukulia vibaya. Kuna upumbavu na ujinga. Wananiuliza:
“Tufanye nini?”
Najibu:
“Kwani mnaweza kufanya nini? Sijui. Mnaweza kufanya nini?”
Wanajibu:
“Hakuna.”
Na mimi nasema “hakuna.” Hili ndio jibu.
Haya yana mafungamano na yale ambayo ndugu yetu Rabiy´ [al-Madkhaliy] aliyotaja kuhusu [Salmaan] al-´awdah, au wengine, na kwamba wanajishughulisha na siasa. Mimi naonelea kuwa mwisho itakuja kuwafanya kupita katika mfumo wa al-Ikhwaan al-Muslimuun, wa kialgeria na wa kambi ya Kiislamu.
Hili ndio jibu langu. Elimu juu ya Qur-aan na Sunnah ndio ambayo inazalisha wanaume ambao wanauokoa Ummah katika hali mbaya waliyomtumkia.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (511)
Imechapishwa: 23/04/2015
https://firqatunnajia.com/kutaabiri-kwa-al-albaaniy-kuhusu-mustaqbal-wa-salmaan-al-awdah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)