Swali: Vipi kuoanisha kati ya Hadiyth inayosema kuwa swalah ya usiku ni Rak´ah mbilimbili na Hadiyth inayosema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo kuzidisha Rak´ah kumi na moja, si katika Ramadhaan wala wakati mwingine wowote?
Jibu: Haya ni maneno ya ´Aaishah kwa mujibu wa ijtihaad yake… ni katika maneno ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa). Miongoni mwa swalah zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba aliswali Rak´ah kumi na tatu… Kuna uwezekano alisahau.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23964/حكم-زيادة-صلاة-الليل-على-احدى-عشرة-ركعة
- Imechapishwa: 08/08/2024
Swali: Vipi kuoanisha kati ya Hadiyth inayosema kuwa swalah ya usiku ni Rak´ah mbilimbili na Hadiyth inayosema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo kuzidisha Rak´ah kumi na moja, si katika Ramadhaan wala wakati mwingine wowote?
Jibu: Haya ni maneno ya ´Aaishah kwa mujibu wa ijtihaad yake… ni katika maneno ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa). Miongoni mwa swalah zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba aliswali Rak´ah kumi na tatu… Kuna uwezekano alisahau.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23964/حكم-زيادة-صلاة-الليل-على-احدى-عشرة-ركعة
Imechapishwa: 08/08/2024
https://firqatunnajia.com/kuswali-usiku-zaidi-ya-rakah-11/