Swali: Mimi nimeswali Tarawiyh pamoja na Imamu lakini kwa nia ya ´Ishaa. Kisha baada ya hapo nikasimama na kurudi kuswali ´Ishaa. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Vipi utaiswali kwa nia ya ´Ishaa kisha unairudi kuiswali tena? Umeshaswali ´Ishaa inatosha. Inajuzu kuingia na Imamu katika Swalah ya Tarawiyh. Wakati atapotoa Salaam unasimama na kukamilisha Swalah yako. Inajuzu mwenye kuswali faradhi kuongozwa na anayeswali Naafilah. Hakuna haja ya kuirudi kwa kuwa Swalah yako ni sahihi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-17.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Mimi nimeswali Tarawiyh pamoja na Imamu lakini kwa nia ya ´Ishaa. Kisha baada ya hapo nikasimama na kurudi kuswali ´Ishaa. Je, kitendo hichi ni sahihi?
Jibu: Vipi utaiswali kwa nia ya ´Ishaa kisha unairudi kuiswali tena? Umeshaswali ´Ishaa inatosha. Inajuzu kuingia na Imamu katika Swalah ya Tarawiyh. Wakati atapotoa Salaam unasimama na kukamilisha Swalah yako. Inajuzu mwenye kuswali faradhi kuongozwa na anayeswali Naafilah. Hakuna haja ya kuirudi kwa kuwa Swalah yako ni sahihi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (32) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-17.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuswali-tarawiyh-kwa-nia-ya-ishaa__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)