Swali: Je, kuna tatizo mtu akaswali swalah ya kupatwa kwa jua au mwezi peke yake?
Jibu: Hapana vibaya ikiwa mtu ataswali peke yake. Lakini kilichowekwa katika Shari´ah ni kuswali na watu mkusanyiko misikitini. Hili ndio limewekwa katika Shari´ah. Wanawake pia wanatakiwa kuswali pamoja na watu. Hata hivyo hapana vibaya ikiwa wanawake wanaswali majumbani mwao.
Swali: Na vipi kuhusu swala ya ‘Iyd?
Jibu: Ndio, aiswali kwa mujibu wa sifa yake. Lakini ni lazima kuswali ´Iyd pamoja na watu akiweza. Ama ikiwa ni mgonjwa, hapana vibaya ataswali nyumbani.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25123/حكم-صلاة-الكسوف-والعيد-منفردا
- Imechapishwa: 04/02/2025
Swali: Je, kuna tatizo mtu akaswali swalah ya kupatwa kwa jua au mwezi peke yake?
Jibu: Hapana vibaya ikiwa mtu ataswali peke yake. Lakini kilichowekwa katika Shari´ah ni kuswali na watu mkusanyiko misikitini. Hili ndio limewekwa katika Shari´ah. Wanawake pia wanatakiwa kuswali pamoja na watu. Hata hivyo hapana vibaya ikiwa wanawake wanaswali majumbani mwao.
Swali: Na vipi kuhusu swala ya ‘Iyd?
Jibu: Ndio, aiswali kwa mujibu wa sifa yake. Lakini ni lazima kuswali ´Iyd pamoja na watu akiweza. Ama ikiwa ni mgonjwa, hapana vibaya ataswali nyumbani.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25123/حكم-صلاة-الكسوف-والعيد-منفردا
Imechapishwa: 04/02/2025
https://firqatunnajia.com/kuswali-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua-au-mwezi-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)