Swali: Ni ipi hukumu ya Rukuu´ ya swalah ya kupatwa kwa jua? Ni lini inawahiwa Rak´ah yake? Je, swalah inapaswa kurudiwa ikiwa kupatwa hakukuisha?
Jibu: Sunnah ni kutosheka na swalah moja na isirudiwe. Hata hivyo watu wanashauriwa kujishughulisha na Takbiyr, du´aa, Dhikr na kutoa swadaqah. Swalah ya kupatwa kwa jua haitakiwi kurudiwa. Sunnah ni kusoma Qur-aan mara mbili kwa kila Rak´ah, kufanya Rukuu´ mara mbili na kusujudu mara mbili, huku akirefusha swalah. Hili ndilo lenye usahihi zaidi lililopokelewa kuhusu swalah ya kupatwa kwa jua. Rak´ah mbili inategemea Rukuu´ ya kwanza; mwenye kukosa Rukuu´ ya kwanza, basi amepitwa na Rak´ah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25126/حكم-ركوعي-صلاة-الكسوف-وتكرارها-اذا-لم-ينكشف
- Imechapishwa: 04/02/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya Rukuu´ ya swalah ya kupatwa kwa jua? Ni lini inawahiwa Rak´ah yake? Je, swalah inapaswa kurudiwa ikiwa kupatwa hakukuisha?
Jibu: Sunnah ni kutosheka na swalah moja na isirudiwe. Hata hivyo watu wanashauriwa kujishughulisha na Takbiyr, du´aa, Dhikr na kutoa swadaqah. Swalah ya kupatwa kwa jua haitakiwi kurudiwa. Sunnah ni kusoma Qur-aan mara mbili kwa kila Rak´ah, kufanya Rukuu´ mara mbili na kusujudu mara mbili, huku akirefusha swalah. Hili ndilo lenye usahihi zaidi lililopokelewa kuhusu swalah ya kupatwa kwa jua. Rak´ah mbili inategemea Rukuu´ ya kwanza; mwenye kukosa Rukuu´ ya kwanza, basi amepitwa na Rak´ah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25126/حكم-ركوعي-صلاة-الكسوف-وتكرارها-اذا-لم-ينكشف
Imechapishwa: 04/02/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-akijibu-maswali-muhimu-kuhusu-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)