Swali: 216: Ni ipi hukumu ya kuchanganya nia katika ´ibaadah moja, kama anayeswali Dhuhaa na wakati huohuo akaingia msikitini na hivyo akainuia swalah ya mamkizi ya msikiti, Dhuhaa na swalah ya Istikhaarah?
Jibu: Sijui lolote kuhusiana na hilo. Hata hivyo fadhilah za Allaah ni pana zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket