Swali: 216: Ni ipi hukumu ya kuchanganya nia katika ´ibaadah moja, kama anayeswali Dhuhaa na wakati huohuo akaingia msikitini na hivyo akainuia swalah ya mamkizi ya msikiti, Dhuhaa na swalah ya Istikhaarah?
Jibu: Sijui lolote kuhusiana na hilo. Hata hivyo fadhilah za Allaah ni pana zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
- Imechapishwa: 01/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: 216: Ni ipi hukumu ya kuchanganya nia katika ´ibaadah moja, kama anayeswali Dhuhaa na wakati huohuo akaingia msikitini na hivyo akainuia swalah ya mamkizi ya msikiti, Dhuhaa na swalah ya Istikhaarah?
Jibu: Sijui lolote kuhusiana na hilo. Hata hivyo fadhilah za Allaah ni pana zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 90
Imechapishwa: 01/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kuswali-swalah-nyingi-za-sunnah-kwa-nia-moja/