Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mtu anayetamka Qur-aan kimakosa?
Jibu: Ikiwa utamshi ni kwa kiasi cha kubadilisha maana, si sahihi kwa mtu ambaye anasoma bora zaidi kuliko yeye kuswali nyuma yake. Hata hivyo ni sawa kuswali nyuma yake ikiwa maana haibadiliki.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya mtu anayetamka Qur-aan kimakosa?
Jibu: Ikiwa utamshi ni kwa kiasi cha kubadilisha maana, si sahihi kwa mtu ambaye anasoma bora zaidi kuliko yeye kuswali nyuma yake. Hata hivyo ni sawa kuswali nyuma yake ikiwa maana haibadiliki.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-mtu-anayesoma-qur-aan-kimakosa/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket