Swali: Je, inafaa kuswali nyuma ya watu ambao wana aina fulani ya madhehebu ya Jahmiyyah kama Ashaa´irah na Mu´tazilah kama mfano wa kupinga ujuu wa Allaah?
Jibu: Hapana. Ikiwa hakuna wengine zaidi ya wao, swali nyuma yao. Lakini kama kuna wengine katika Ahl-us-Sunnah hapo ndipo utaswali nyuma yao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 29/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)