Swali: Je, inajuzu kuswali kwenye maktabah mkusanyiko pamoja na kuzingatia ya kwamba msikiti uko karibu na maktabah?
Jibu: Haijuzu kwa ambaye msikiti uko pambizoni mwake kuswali ndani ya maktbah. Ni wajibu kwake kutoka ili aswali pamoja na mkusanyiko. Ni kama ambavyo haijuzu pia kuswali nyumbani, bali ni wajibu kwake kutoka ili aswali pamoja na mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1107/يصلي-في-المكتب-رغم-قربه-من-المسجد
- Imechapishwa: 25/01/2026
Swali: Je, inajuzu kuswali kwenye maktabah mkusanyiko pamoja na kuzingatia ya kwamba msikiti uko karibu na maktabah?
Jibu: Haijuzu kwa ambaye msikiti uko pambizoni mwake kuswali ndani ya maktbah. Ni wajibu kwake kutoka ili aswali pamoja na mkusanyiko. Ni kama ambavyo haijuzu pia kuswali nyumbani, bali ni wajibu kwake kutoka ili aswali pamoja na mkusanyiko.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1107/يصلي-في-المكتب-رغم-قربه-من-المسجد
Imechapishwa: 25/01/2026
https://firqatunnajia.com/kuswali-ndani-ya-maktabah-iliyo-karibu-na-msikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket