Swali: Nikiswali Rakaa mbili za Dhuhaa baada ya jua kuchomoza, halafu nikaendelea kuswali Swalah zingine za Sunnah kabla ya jua kusimama inajuzu na inakuwa ni katika Swalah ya Dhuhaa?
Jibu: Ndio. Swali idadi utakayo. Swali idadi utakayo mpaka pale ambapo jua litasimama juu ya vichwa, hapo ndio usimame. Swali idadi utakayo. Ni sawa kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Nikiswali Rakaa mbili za Dhuhaa baada ya jua kuchomoza, halafu nikaendelea kuswali Swalah zingine za Sunnah kabla ya jua kusimama inajuzu na inakuwa ni katika Swalah ya Dhuhaa?
Jibu: Ndio. Swali idadi utakayo. Swali idadi utakayo mpaka pale ambapo jua litasimama juu ya vichwa, hapo ndio usimame. Swali idadi utakayo. Ni sawa kufanya hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuswali-naafilah-baada-ya-dhuhaa-mpaka-wakati-wa-dhuhr/