Swali: Mtu anaweza kuchukua kutoka kwenye kichwa cha khabari “Kusichinjwe sehemu ambapo kunachinjwa kwa ajili ya mwengine asiyekuwa Allaah” ya kwamba haifai kuswali kwenye misikiti ya Ahl-ul-Bida´ah?
Jibu: Bid´ah zinatofautiana. Ikiwa ni Bid´ah za kikafiri na msikiti huu unafanya Bid´ah za kikafiri na za shirki, kusiswaliwe ndani yake. Ama ikiwa Bid´ah iko chini ya kufuru na shirki, ni maasi. Kwa hivyo usiache kuswali pamoja nao. Swali pamoja nao swalah ya mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu anaweza kuchukua kutoka kwenye kichwa cha khabari “Kusichinjwe sehemu ambapo kunachinjwa kwa ajili ya mwengine asiyekuwa Allaah” ya kwamba haifai kuswali kwenye misikiti ya Ahl-ul-Bida´ah?
Jibu: Bid´ah zinatofautiana. Ikiwa ni Bid´ah za kikafiri na msikiti huu unafanya Bid´ah za kikafiri na za shirki, kusiswaliwe ndani yake. Ama ikiwa Bid´ah iko chini ya kufuru na shirki, ni maasi. Kwa hivyo usiache kuswali pamoja nao. Swali pamoja nao swalah ya mkusanyiko.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-10-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwenye-misikiti-ya-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
