Swali: Katika mji wangu naishi katika chumba ambacho kuna ukuta baina yangu mimi na kaburi na kaburi hilo limeelekea Qiblah. Je, naweza kuswali chumbani kwangu?
Jibu: Haina neno midhali kaburi hili limetengana na chumba na kuna ukuta baina yako wewe na kaburi hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Katika mji wangu naishi katika chumba ambacho kuna ukuta baina yangu mimi na kaburi na kaburi hilo limeelekea Qiblah. Je, naweza kuswali chumbani kwangu?
Jibu: Haina neno midhali kaburi hili limetengana na chumba na kuna ukuta baina yako wewe na kaburi hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwenye-chumba-ambacho-mbele-yake-kuna-kaburi/