Swali: Mtu akiwa na uzito wa kuisugua miguu yake wakati wa kutawadha, inatosheleza kuimwagilia maji na ikalowa pasi na kuisugua?
Jibu: Ndio. Kuisugua ni Sunnah na sio wajibu. Kitu muhimu ni ayamimine maji juu ya viungo vya mwili. Kukipatikana kusugua ni jambo bora tu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Mtu akiwa na uzito wa kuisugua miguu yake wakati wa kutawadha, inatosheleza kuimwagilia maji na ikalowa pasi na kuisugua?
Jibu: Ndio. Kuisugua ni Sunnah na sio wajibu. Kitu muhimu ni ayamimine maji juu ya viungo vya mwili. Kukipatikana kusugua ni jambo bora tu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/kusugua-viungo-vya-mwili/