Swali: Vipi kuhusu kusoma kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne katika swala ya ´ishaa baada ya al-Faatihah?
Jibu: Ni kama katika Dhuhr na ´Aswr. Hatufahamu dalili yoyote inayosema kinyume na hilo. Ni kama kusoma al-Faatihah tu katika Dhuhr na ´Aswr.
Swali: Nini kinachosomwa katika ´Aswr kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne?
Jibu: Udhahiri wa Sunnah ni kwamba kunasomwa al-Faatihah peke yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24841/ما-حكم-القراءة-في-الاخيرتين-بالصلاة-الرباعية
- Imechapishwa: 20/12/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket