Swali: Vipi kuhusu kusoma kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne katika swala ya ´ishaa baada ya al-Faatihah?
Jibu: Ni kama katika Dhuhr na ´Aswr. Hatufahamu dalili yoyote inayosema kinyume na hilo. Ni kama kusoma al-Faatihah tu katika Dhuhr na ´Aswr.
Swali: Nini kinachosomwa katika ´Aswr kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne?
Jibu: Udhahiri wa Sunnah ni kwamba kunasomwa al-Faatihah peke yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24841/ما-حكم-القراءة-في-الاخيرتين-بالصلاة-الرباعية
- Imechapishwa: 20/12/2024
Swali: Vipi kuhusu kusoma kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne katika swala ya ´ishaa baada ya al-Faatihah?
Jibu: Ni kama katika Dhuhr na ´Aswr. Hatufahamu dalili yoyote inayosema kinyume na hilo. Ni kama kusoma al-Faatihah tu katika Dhuhr na ´Aswr.
Swali: Nini kinachosomwa katika ´Aswr kwenye Rak´ah ya tatu na ya nne?
Jibu: Udhahiri wa Sunnah ni kwamba kunasomwa al-Faatihah peke yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24841/ما-حكم-القراءة-في-الاخيرتين-بالصلاة-الرباعية
Imechapishwa: 20/12/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-suurah-nyingine-baada-ya-al-faatihah-katika-rakah-ya-tatu-na-ya-nne/