Swali: Je, kumepokelewa kitu juu ya kuyasomea maji?
Jibu: Imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyasomea maji kwa ajili ya Thaabit bin Qays na akayamwaga juu yake. Ameipokea Abu Daawuud kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Swali: Je, ni bora kusoma ndani ya maji?
Jibu: Asome ndani ya maji, ammwagie nayo au kumrashia nayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24525/هل-صح-شيء-في-الماء-الذي-يقرا-فيه
- Imechapishwa: 31/10/2024
Swali: Je, kumepokelewa kitu juu ya kuyasomea maji?
Jibu: Imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyasomea maji kwa ajili ya Thaabit bin Qays na akayamwaga juu yake. Ameipokea Abu Daawuud kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Swali: Je, ni bora kusoma ndani ya maji?
Jibu: Asome ndani ya maji, ammwagie nayo au kumrashia nayo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24525/هل-صح-شيء-في-الماء-الذي-يقرا-فيه
Imechapishwa: 31/10/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-ndani-ya-maji-na-kummwagia-nayo-mgonjwa/