Swali: Inajuzu kuchukua elimu kwa mtu ambaye hambadiy´ ´Ar´uur, Abul-Hasan al-Ma´ribiy na al-Maghraawiy na anasema taasisi ya Ihyaa’ at-Turaath ni Salafiy?
Hajasoma na wala hana Tazkiyyah kutoka kwa wanachuoni. Anachukua elimu kwenye kanda na vitabu vya Ibn Baaz, al-Albaaniy na Ibn ´Uthaymiyn (Rahimahumu Allaah).
Jibu: Kwa hakika ni kwamba yule ambaye hawafanyii Tabdiy´ watu hawa, yeye ni kama wao. Kwa kuwa watu hawa ni watu wa Bid´ah. Na al-Maghraawiy imethibiti kwake kuwa ni Takfiyriy.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://z-salafi.com/v2/action?s_menu=23&idFatwa=865
- Imechapishwa: 20/07/2020
Swali: Inajuzu kuchukua elimu kwa mtu ambaye hambadiy´ ´Ar´uur, Abul-Hasan al-Ma´ribiy na al-Maghraawiy na anasema taasisi ya Ihyaa’ at-Turaath ni Salafiy?
Hajasoma na wala hana Tazkiyyah kutoka kwa wanachuoni. Anachukua elimu kwenye kanda na vitabu vya Ibn Baaz, al-Albaaniy na Ibn ´Uthaymiyn (Rahimahumu Allaah).
Jibu: Kwa hakika ni kwamba yule ambaye hawafanyii Tabdiy´ watu hawa, yeye ni kama wao. Kwa kuwa watu hawa ni watu wa Bid´ah. Na al-Maghraawiy imethibiti kwake kuwa ni Takfiyriy.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://z-salafi.com/v2/action?s_menu=23&idFatwa=865
Imechapishwa: 20/07/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-kwa-mtu-asiyemfanyia-tabdiy-aruur-al-maribiy-na-al-maghraawiy/