Swali: Mtu anazingatiwa kuwa anatafuta elimu kwa kusikiliza kanda za wanachuoni ambao wanafafanua vitabu…
Jibu: Hapana, hapana. Huku sio kutafuta elimu. Kusoma haiwi kupitia kanda, inakuwa kupitia wanachuoni. Mtu anatakiwa kukaa mbele yao, kuwauliza, kujadiliana nao, kuchukua elimu kutoka kwao. Elimu haichukuliwi kutoka katika kanda na vitabu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35)
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu anazingatiwa kuwa anatafuta elimu kwa kusikiliza kanda za wanachuoni ambao wanafafanua vitabu…
Jibu: Hapana, hapana. Huku sio kutafuta elimu. Kusoma haiwi kupitia kanda, inakuwa kupitia wanachuoni. Mtu anatakiwa kukaa mbele yao, kuwauliza, kujadiliana nao, kuchukua elimu kutoka kwao. Elimu haichukuliwi kutoka katika kanda na vitabu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35)
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kusoma-kupitia-kanda-na-vitabu/