Swali: Mtu anazingatiwa kuwa anatafuta elimu kwa kusikiliza kanda za wanachuoni ambao wanafafanua vitabu…

Jibu: Hapana, hapana. Huku sio kutafuta elimu. Kusoma haiwi kupitia kanda, inakuwa kupitia wanachuoni. Mtu anatakiwa kukaa mbele yao, kuwauliza, kujadiliana nao, kuchukua elimu kutoka kwao. Elimu haichukuliwi kutoka katika kanda na vitabu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35)
  • Imechapishwa: 12/02/2017