Swali: Mtu anatakuwa ni mwenye kufahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa jumla akisoma na kufahamu kitabu “al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah”?
Jibu: Ndio. Mwenye kukisoma na kukifahamu atakuwa amefahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa njia fupi. Akitaka kuingia kwa ndani zaidi arejee katika vitabu vikubwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu anatakuwa ni mwenye kufahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa jumla akisoma na kufahamu kitabu “al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah”?
Jibu: Ndio. Mwenye kukisoma na kukifahamu atakuwa amefahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa njia fupi. Akitaka kuingia kwa ndani zaidi arejee katika vitabu vikubwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuelewa-aqiydah-ya-ahl-us-sunnah-kupitia-al-aqiydah-al-waasitwiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket