Kuelewa ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah kupitia al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah

Swali: Mtu anatakuwa ni mwenye kufahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa jumla akisoma na kufahamu kitabu “al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah”?

Jibu: Ndio. Mwenye kukisoma na kukifahamu atakuwa amefahamu ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kwa njia fupi. Akitaka kuingia kwa ndani zaidi arejee katika vitabu vikubwa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20%20-%2017-%2010-1436.mp3
  • Imechapishwa: 12/02/2017